Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Bwa'Nchuchu na @Mounriho nawaheshimu wakuu mnakoelekea siko kabisa naomba muishie hapa ili tuendelee kufurahia hii World Cup Final ambayo inaanza hivi karibuni.
Umesahau ulichokifanya majuzi? kiharage cha mafia wewe
Kaka, siku ile wakati kanianza na matusi yake mbona hukumuonya? Au matusi ni matusi yakitoka kwangu tu?
Germany 3 argentina 1
Haina noma mazee. Ila huyo ---- juzi kanianza na sikuona mkimsihi aache ussenge wake....
Anyway haina shobo...VamosArgentina!
Tuone soka mkuu tuache haya mambo hayatusaidii!Umemuona Puyol hapo mkuu?
Vice versal will hold the truth!Messi 3 Germany 1
pomoja mkuu
Time will tell.UsikimbieVice versal will hold the truth!Messi 3 Germany 1