atapitia wapi?
90 min 0:0
added extra time Germany 0:1 Argentina.
i wish Kombe liende Ulaya.
Hahahaa....hakuna hata chochoro.....leooo
ni kweli, any time Argentina wanapigwa...
#TeamArgentina pia tunachukua ubingwa wala usihofu.
gemu hitabiriki hii mashakaAfadhali umekubali! Tunawafunga 3 tu kwa bila!
naona ile statue mashuri ya Christ the Redeemer inaonyeshwa ktk live coverage za fainali za kombe la dunia.hofu yangu kahtaan kama anaangalia anaweza kupasua kiplasma chake kwa hasira.lol
dunia nzima ishafahamishwa kwamba Christ is the Redeemer.
Fanya ile mambo basi!!!!!!!
#TeamArgentina pia tunachukua ubingwa wala usihofu.
huyu refa wa leo ni wa wp?
hakuna eee