Saba leo zimegoma?
Hawa watu wasilie bana mbona #TeamBrazil pamoja na kuandaa bado tukatolewa kwa aibu sana na tukalia, sasa hawa ambao hawajachangia hata mchanga wanalaia nn
Ronaldinho alikuwa ball controller sana, kuliko kuwa effective ndo maana hakusavaivi ulaya kama Messi. Messi yupo effective ana bring his team in the play kuliko Ronaldinho. Sema Wabongo mtu anayepiga dana dana na skills nyingi ndo anaujua kuliko yule aliye effective.