World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Attachments

  • 1405289146346.jpg
    81.5 KB · Views: 81
  • 1405289169228.jpg
    45.9 KB · Views: 76
  • 1405289189898.jpg
    107 KB · Views: 74
  • 1405289219551.jpg
    123.2 KB · Views: 72
  • 1405289253648.jpg
    95.4 KB · Views: 74
  • 1405289326274.jpg
    107.5 KB · Views: 78
ndetichia sio kuwa bundesliga ndio ligi bora kwa sasa ila soon itakuwa
 
Last edited by a moderator:
Unamaanisha nini kusema Dinho hakusavaivi Ulaya? Na unamaanisha nini kusema hakuwa effective?

Chifu, unamuongelea Ronaldinho Gaucho ama?

Mkuu Ronaldinho my opinion kila mtu ana zake, kwangu hakuwa effective ni kulinganisha na Messi ndani ya Barca mara nyingi alikuwa ni mchezaji aliyekuwa ana hug mpira zaidi ya kubring team into the play kama Messi anavyofanya. Ameondoka Ulaya akiwa na miaka 30 tu, kacheza ulaya kama miaka 9 in total.
 
 

Attachments

  • neymar and ganso.jpg
    86 KB · Views: 247
Nyie Blatter ndo mnaona anaharibu leo?

Na anagombea tena urais hivyo..

Sijawahi kumwona Blatter kama anafaa kuwa rais wa FIFA...yeye na Adidas wanatumia umafia kuendesha soka duniani kwa mahaba na matakwa yao...ndiyo maana kila anapotokea mtu anayeweza kuwa tishio kwa urais wa Blatter, lazima akumbane na mizengwe mingi...
 

Attachments

  • 1405289457621.jpg
    69.3 KB · Views: 92
  • 1405289491008.jpg
    99.6 KB · Views: 87
  • 1405289519428.jpg
    165.7 KB · Views: 85
  • 1405289543581.jpg
    160.1 KB · Views: 82
  • 1405289575598.jpg
    130.4 KB · Views: 72
  • 1405289691862.jpg
    49.5 KB · Views: 76
Mjerumani kaweka heshima kubwa kamtandika Brazil na Argentina barani kwao! Sio kitu rahisi lazima Hongera tuwape hata Kama wengine hatukutaka ashinde ila Mjerumani kaonyesha Extra Time anaziweza,Fujo anaweza, counter attack anaweza, kukaba anaweza na hawakupendelewa na Refa.
 
Pazi mkoloni si alikuwa ni option yako ya pili baada ya timu yako "pendwa" kama rubaman alivyokuwa timu yake ya kwanza usa ya pili spain
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…