Heee basi nimeshtuka iyo kurudi nyumbani nkafkir uko nje usiku huu kutizama mpira mbona ningeruka na ungo saivi kuja kukurudisha nyumbani jaan
Subir tushinde utawaona...wanakuna vichwa kutiwa aibu mbaya sana alooo
Hahaahaahaha lakini mmeshapunguzwa kasi, vijukuu vya Elizabeth. Mkiendelea hivi sijui nahisi mwahitaji kurudi mapema UK.
Na sisi Tanzania tumewaiga.....England wanacheza sana mpira kwenye magazeti na mdomoni....mmxxxxx
Nyie #teamEngland # mbona mmepungua hivi? mwanzo mlikuwa wengiiiiiii now hamhesabiki why???????
#teamItaly # juuuuuuuu
Hahaahaahaha lakini mmeshapunguzwa kasi, vijukuu vya Elizabeth. Mkiendelea hivi sijui nahisi mwahitaji kurudi mapema UK.
Dah pole my wifi, team yako hiyo itakupa presha bure.
Ha ha ha aaah...!! Jamaa kiwango chake hakishuki.Pirlo hatari sana huyu chuck noris ,England wangepigwa ukawa!