World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Aibu kinoma Andre Pirlo ana miaka 100 anawazungusha kina Wilshire wenye miaka ishirini na kitu kama vile matahira. Huyu Pirlo ana mguu wa kijiko au ?

Wilshere hana tofauti na Cleverley
 
Barkley toka aingie sijaona kitu si bora angekuwepo Carrick basi Kama hawamtoi SG akawa SG anasogea mbele?

Mkuu SG ndiyo Pirlo wa Uingereza na kacheza vizuri sana!Tatizo la UK ni beki wa kushoto haendi mbele!!
England ITASONGA mbele,itamfunga Uruguay isiyo na Suarez
 
Wifi mie team brazil sasa nataka hawa mwenye mipira mikubwa afadhali wote watoke wasije tuulia neymar wetu na oscar lol
Brazil wenyewe hawana muda mrefu kwenye haya mashindano.
 
Huku tabata kunawaislam wanapiga kelele misikitin ni balaa..huu sio ustarabu kabisa.:
 
Wifi mie team brazil sasa nataka hawa mwenye mipira mikubwa afadhali wote watoke wasije tuulia neymar wetu na oscar lol

Wow kumbe tuko team moja, miye Brazil damudamu, huku kwingine nashangilia kwa mkopo tu wifi.
 
Nilikuwa najiuliza kwanini England wanacheza mpira kwa spedi,kumbe wanataka wafunge mapema maana wanaogopa kuchoka.



Italy waliifahamu vema janja ya mbio nyingi ni pasi na control za uhakika kisha wakimbiaji wanachoka na ushindi unapatikana.

Ngoma ya watoto haikeshi hata siku moja, huoni team england wamekimbia kulala wote. tumebaki Italy mpaka mwisho.
 
England kacheza Raheem na Nyuma Cahill tatizo la England tunakuwa waoga kufungwa goli mtu mnawachezaji wakukimbiza mtu kama Barnes akipata Anarudi nyuma Welbeck na Raheem ndio wamecheza uzuri ila Welbeck naye akipata mpira hakimbiizi anatowa Pasi haraka sijui uoga wa lawama? Bora OX apone jamaa anakimbiza tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…