World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Tiote huwa anacheza ngangari Newcastle hapa yupo kama garasa fulani hivi.
 
Tiote mpaka sasa hajapata Yellow Naomba mnisamehe Life ban nilisema Tiote akimaliza bila Yellow mnipe life ban Leo hajaona Yellow ajabu.
 
Aisee imebaki dk chache mbona wajapan wanabadilika fasta
 
WTF???? unajipa jina linalofanana na Kibrazil wakati mpira mbovu kuliko mtanzania ndo maana Arsenal wakakumwaga. Ungebadili kurudi Yao acha kujiita Gevinho, badala ya kutoa pasi unataka kupiga chenga kila mtu.
 
Wajinga wataharibu ushindi wetu wa kwanza Kombe la dunia hili.
 
Wajapan Leo hasira zao watamalizia kwenye kutengeneza Sony anamwambia mwanae haya Leo fanya utengeneze Robot hasira ziiishe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…