World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Mwambie muajiri kwamba unaumwa sana kwa siku mbili hujalala kutokana na ugonjwa unaokusumbua ambao bado madaktari wanaufanyia uchunguzi.

Kumbe ndio timu yako hii. Sidhani kama nitawaona hawa maana kesho kibaruani nisije nikaharibu maana hizi siku 2 sijalala kabisa.
 
Mechi ya Ghana ni kesho saa saba usiku.

Saa saba usiku ya Jumanne (17.06.2014), na siyo ya Jumatatu (16.06.2014).

Saa saba usiku ya kesho ni kati ya Argentina dhidi ya Bosnia & Herzegovina.
 

Lingine ni Rooney ni untouchable hata kama anacheza vibaya.. Rooney hayupo katika form pia yupo under pressure kisaikolojia kuperfom vizuri katika timu ya taifa lakini wanashindwa kumtoa na kuwapa wengine nafasi, wange mu-ease Rooney in kama Sub pressure ingetoka labda angecheza vizuri. World Cup ya pili kama siyo ya tatu kwa Rooney na hajafunga hata goli moja.
 
Nipo tayari baada ya kupata nap ya masaa 4!Mechi na zianze sasa
 

heshima kwako mkuu Mourinho. Naona tumeanza vizuri. Salama lakini mkuu?
 
Last edited by a moderator:
Hamjambo humu, watu wamechoka hoi WC si mchezo.

Tanesco jana wamenibore kukata umeme mechi ya england na italy, inaonesha aliyekuwa zamu shabiki wa england maana baada ya goli la pili ndo akazima.
 
Tanesco jana wamenibore kukata umeme mechi ya england na italy, inaonesha aliyekuwa zamu shabiki wa england maana baada ya goli la pili ndo akazima.

Ah pole sana ulikosa raha yenyewe, maana ilikuwa mechi tamu sana. Wamewaonea maeneo yenu mkuu.
 
Niwarudishe nyuma kidogo wadau.
kwa kiwango kile cha Cote devour, wanaweza wakafika robo fainali kwali?
 

Hii timu haiishagi lawama kama Stars yetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…