Kipa kajifunga, hivyo mpaka sasa benzema kafunga goli moja sio mawili
usiseme kwa nguvu...kwa kina Jacton manyerere na wenzake.....
Hapana mpira umevuka na kipa kautolea ndani kama ume angalia replay ya pili. Wamejiandaa haiwezi goma.FIFA walisema mpira wote lazima uwe umevuka mstari, replay(ies) inaonyesha ni slice ya mpira upo over the line. Nasubiri siku tech itakapogoma kufanya kazi tuone FIFA watasema nini?
Habari ndio hiyo mtani. Acha kushangaa siye tunapaa
ni Goli ila pia umesema Hivyo nimefikiria siinatakiwa mpira wote uwe umevuka chokaa!? Sawa na mstari unajaribu mpira usitoke nje ya uwanja Una keep in the ground game inaendelea na uhakika siku mpira ukipiga juu ya mwamba ikarudi chini ya chokaa basi itasema goal ile inasoma tumbo au Chogo la mpira ndio inasema goal.FIFA walisema mpira wote lazima uwe umevuka mstari, replay(ies) inaonyesha ni slice ya mpira upo over the line. Nasubiri siku tech itakapogoma kufanya kazi tuone FIFA watasema nini?
Kipa kautolea ndani kabisa.Kipa kajifunga, hivyo mpaka sasa benzema kafunga goli moja sio mawili
FIFA walisema mpira wote lazima uwe umevuka mstari, replay(ies) inaonyesha ni slice ya mpira upo over the line. Nasubiri siku tech itakapogoma kufanya kazi tuone FIFA watasema nini?
hii ni kumuibia benzema wazi...dah Fifa na teknolojia zao?....
Honduras wamecheza kwa nguvu first half naona km wamesha tepeta kipindi hiki
kiukweli wanakosa magoli ya wazi kabisa,sijui wamepanic?maana wengi wao ndo mara ya kwanza kucheza world cupFrance kwa uchezaji huu hawafiki mbali.
Hahahaa.mtani wako kapagawa
Sababu France sport Yao kubwa ni Rugby wazungu na rafiki yangu France anasema wengi mpira wamiguu France wameanza kuchukia sababu ya black wengi ila sport ya taifa France ni Rugby ile 98 ndio imefanya wawe na mapenzi na football.France poa sana kama USA basketball timu 90% wanyamwezi.