World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

wanaondoa ladha ya soka...inatakiwa tubishane mpk uswahilini....goli....sio goli....


Umenikumbusha enzi za kuangalia movie Drive-In Cinema tunaangalia wote tukirudi uswahilini tunaanza kuhadithiana na kubishana kitu tulichoangalia jana yake.
 
duh hapa jenereta imekata mafuta, tupeni upadates wakuu
 
Umenikumbusha enzi za kuangalia movie Drive-In Cinema tunaangalia wote tukirudi uswahilini tunaanza kuhadithiana na kubishana kitu tulichoangalia jana yake.

Mbali hiyo mkuu....movie ya "Idi Amin"....
 
Pazi, najiuliza watafanya nini siku Wafaransa weusi wakitawala Rugby? Marekani wenyewe si walikuwa na ubaguzi huu huu katika michezo yao miaka ya zamani, angalia ngozi gani inatawala Basketball, NFL, Baseball,Boxing, Riadha kama sio weusi. Na kuna weusi wapo katika NHL na michezo mingine ya barafu barafu kuna siku idadi itaongezeka. Wafaransa labda niseme Wazungu wa ulaya wakae mkao wa kula wasubiri siku wataona Weusi wanatesa katika michezo yao.
 
Alisema timu ya France imejaa weusi tu,ubaguzi mbaya jamani
la Penn sijui anaitwa? Mwanae Kama sikosei kashinda uchaguzi France, Europe ubaguzi upo EU itakuwa nchi za nje EU hawatakani. Pogba mkali kuna dogo under 11 barcelona jina nimesahau atakuwa Kama Pogba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…