World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Uswis anashinda hili kundi!France hawapati hata sare kwa Uswis

Defence ya france inafanana kwa mbali na ile ya france 1998, hivyo naamini france atashinda kwa uswis.
France inabidi wanoe zaidi wafungaji wengine wawili, ukitoa benzema. Finishing yao sio nzuri inabidi wapate nafasi nyingi ili kufunga magoli machache.
 
Team Argentina
Team Lionel Andres Messi

Mkuu nakuonya hii Balkan State team ikiongozwa na Dzeko sio team ya kudharau hata kidogo,ilipata nafasi hii ya kuja Brazil automatically bila kupitia play offs!Waliongoza kundi lao
 
huyu ndie Mfalme wa Mpira kipindi hiki, kizazi tumebahatika kumuona Messi

Kaka huyu sio MFALME bali ni Mdogo wa Massiah aliyekuja kumtayarishia njia kaka yake Emanuel Joseph "Yesu"
 
Diego Maradona dah utotoni mtu unasikia mpira kwa wakubwa jina nilikuwa naweza nisiwajue wote na kushangaa mtu vipi anawajua first 11 yote majina ila kwa Maradona nilimjua Huyu ni Diego Maradona Huyu mtu Argentina hata awe na Zero Balance kwenye Account basi nyumba yoyote anaweza kula bure hata Fidel Castro kamsaidia wakati wa matatizo yake, Argentina wameniuzi kumuacha Carlos Tevez.
 
Bosnia XI : Begovic, Bicakcic, Spahic, Kolasinac, Besic, Pjanic, Misimovic, Dzeko, Mujdza, Lulic, Hajrovic
 

Pazi hapo nimekukubali
 
Last edited by a moderator:
Argentina XI : Romero; Rojo, Garay, Campagnaro, Zabaleta; Mascherano, Di Maria, Messi, Rodriguez, Fernandez, Aguero
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…