Ed n Edd nEddy
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 5,345
- 6,076
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtani wanguhahahh wa kuloga nani
126000/=tsh
WC isiishe niendelee kufaidi
Kakimbia alisema last game 2-2 atakuwa kalala Mie ikishiisha game nipumzishe akili na mapigo ya moyo lasivyo itakuwa sawa na mtu kunywa pombe kibao bila kula then unalala asubuhi sana masaa ma tatu then unalalamika kichwa viungo ila maziwa hata glass moja mtu au kijiko cha asali kwa mara moja kwa mwezi mtu hataki ndio players wa taifa stars.Bulldog.....kalala...?sioni stats...
Diego Maradona dah utotoni mtu unasikia mpira kwa wakubwa jina nilikuwa naweza nisiwajue wote na kushangaa mtu vipi anawajua first 11 yote majina ila kwa Maradona nilimjua Huyu ni Diego Maradona Huyu mtu Argentina hata awe na Zero Balance kwenye Account basi nyumba yoyote anaweza kula bure hata Fidel Castro kamsaidia wakati wa matatizo yake, Argentina wameniuzi kumuacha Carlos Tevez.
Jamani usiku mwema, nina furaha tumeshinda 3-1.
Walioshindwa poleni sana. Mechi ya saa 7 nitapata matokeo asubuhi Mungu akipenda.
#Benzema #
#teamfrance #
Kaka huyu sio MFALME bali ni Mdogo wa Massiah aliyekuja kumtayarishia njia kaka yake Emanuel Joseph "Yesu"
Ungekosa ungeliwa sh ngapi mkuu?
Argentina XI : Romero; Rojo, Garay, Campagnaro, Zabaleta; Mascherano, Di Maria, Messi, Rodriguez, Fernandez, Aguero
50000/= hii ilikuwa man to man jamaa alijifanya jeuri alimweka hadi demu wake kama ingetokea hat-trick
Higuain ataingia baadae
Team Argentina
Team Lionel Andres Messi
Alafu ana mategemeo atafika levo ya kina Messi.....Kakimbia alisema last game 2-2 atakuwa kalala Mie ikishiisha game nipumzishe akili na mapigo ya moyo lasivyo itakuwa sawa na mtu kunywa pombe kibao bila kula then unalala asubuhi sana masaa ma tatu then unalalamika kichwa viungo ila maziwa hata glass moja mtu au kijiko cha asali kwa mara moja kwa mwezi mtu hataki ndio players wa taifa stars.
Hahahaaa! kwa hiyo ungemchukua kweli?
50000/= hii ilikuwa man to man jamaa alijifanya jeuri alimweka hadi demu wake kama ingetokea hat-trick
Mimi ndio maana siwaamini Waafrica wenzangu maana wao wana tegemea waganga badala ya kucheza mpira. Sasa angalia Wanavyo pata pressure Ronaldo kapona.
#teamhondurus
Cc Bantu lady , TATIANA Katavi, Mourinho.
Team Lionel Messi
Team Argentina
Messi leo atakuwa Mese.
Doooooooooooooooooooooooooooooooooh!!!!!Mkuu umehama Hispanola/Catalunya?