World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Naombea Nigeria ishinde, Mungu saidia Africa.
 
brazil hakuna watoto murang'a au weusi wa kuingia na wachezaji uwanjani?
wanaingiza watoto wote weupe, huu ubaguzi.
 
tatizo la Nigeria huwa ni kwenye kumalizia.
 
Wordcup kweli kiboko hadi mechi kama hii ya iran na nigeria watu wamefurika tena brazil
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…