Ghana ya 2010 ilikua team ya kiume haswaaa, sidhani kama watakua na ubora kama ule lakini hii ndio team pekee ya Africa ambayo najua itacheza kwa moyo wote na kujitolea kila kitu uwanjani.
#TeamGhana #GoGhanaGo
Aisee kuna timu za kusemea,ila huyu Manager Klinsman atakuwa kawakoach vizuri sana hawa USA,ukichanganya na ile hasira ya kutolewa na Ghana kule South,basi leo kazi ni moja tu ushindi
Nina imani Essien angecheza leo wasingefungwa bao la kijinga namna hii.Na ubinafsi pia wa kutaka kuonekana ili apate ajira majuu. Ghana wana timu nzuri wakitulia wanaweza kushinda game hii.
Hali ngumu mpendwa,hapo wameshavurugwa kisaikolojia,kurudisha na kushinda itakuwa ngumu
Wana jitahidi kushambulia wana nipa matumaini.Kuna ukweli mtupu hapa....let's be positive tuone mwisho wake
Alafu istoshe tunacheza sisi tu.Usiogope game bado mbichi kabisa lolote linaweza kutokea
Hizi sidiria walizo vaa ndio chanzo cha kufungwa.
:usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2: