sioni HOW GHANA IS GOING TO SCORE!!!
Ghana ndo tegemeo letu Afrika msituangusha vs wala burgers hawa.
sioni HOW GHANA IS GOING TO SCORE!!!
sioni HOW GHANA IS GOING TO SCORE!!!
Wamarekani wote wamerudi nyuma, Ghana wanaharibu sana kwenye pass za mwisho wanamuhitaji mtu kama Boateng akacheze no10., halafu Essien na Badu wakakamate ile kiungo