World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13


Unamuomba mungu wa wapi?
Yaan mungu wa wazungu ndo ate uje ukusaidia wewe badala ya wanawe wazungu?
Tumejitia laana wenyewe.
 
Dah! Hujakosea kabisa! Uwa namwambia Mphamvu kuwa Abajalo ni timu ya wavuta bange na wakabaji wa Sinza Makaburini na kwa Remmy! Pepe ndiye mfano wao halisi.

Abajalo? Usiitaje bana, yule JF Member wa kujifanya anapenda sana AC Milan wakati weusi kama yeye wanarushiwa ndizi Italia atakutoa macho...
 
Last edited by a moderator:
Boateng ndiye ameshuka kiwango, Essien hakuwa tu fiti kwa mechi ya leo. Asamoah Gyan umemtaja kwa kuwa amekujia tu mdomoni, alicheza kwa kiwango cha juu sana.
 
Yote tisa, mganga wa Ghana nimemkubali kwa jinsi alivyowatia majeraha leo.
Kaanza na Atildore, akaja na Dempsey afu akamaliza na yule beko no. 11... Tulishindwa wenyewe tu kukamilisha tambiko.
 
Nawaamini sana Desert Fox!Ingawaje leo likely watafungwa na Belgium lkn naamini Algeria watapita round ya pili
 
Kwa kiwango kile cha Nigeria nina uhakika mechi ijayo Dzeko anaondoka na mpira wake kwa kupiga hat trick rahisi kabisa
 
Nawaamini sana Desert Fox!Ingawaje leo likely watafungwa na Belgium lkn naamini Algeria watapita round ya pili
Mkuu kati ya timu za africa..algeroa ndo timu pekee yenye wachezaji na sio wacheza ngoma waliopita...tangu mwanzo africa mimi ni #team algeria#..
 
Ikiwa siku ya leo timu ya brazil inategemea kukutana na mexico....mchezo huu , na vipi kuhusu viwango vya mpira vya timu hizi...kila timu ina point tatu ikiwa

1.brazil...ina pointi tatu na mexico ina point tatu ...na brazil inaaongoza kundi

mechii hii inatarajiwa kucheza muda wa saa nne...usiku
 
Ngoja tuwasubiri Binamu zetu Algeria,hawa subsaharan ni majanga tu sijui tumerogwa?
 

mi bora niliamua kulala mapema tu,africa tuna safari ndefu sana yani tangu kuumbwa kwa dunia hatuja wahi hata kuvaa medal za mshindi wa pili kwenye wed kapu.daah poor africa.
 
AFCON ilikuwa mwaka 1980 NIGERIA. Kizazi cha akina Juma Pondamali, Jellah Mtagwa, Leodgar Chenga, Adolf Richard, Sunday Manara, Kibadeni na wengineo.

nikikutana na wa-nigeria wazee, nikiwaambia natoka TZ wananiulizia Juma Pondamali anaendeleaje.
 
USA siku ikifika final wataweza leta watu kibao kuja angalia mechi yao
 
Kijana muller,ozil,looooooo!!!!!!!! Ya jana yaache tu,bao 4 hivi hivi hawa vijana germany nomaaa,jaman ronadol na walinzi wake kwa kwa kwa kwa!!!!!!!!!!ila pale ureno kupenya ilikuwa kazi duuuu,ss kuchanganyikiwa au!!!pepe nae mapepe kama jina lake,du africa jana tutegemee nan?????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…