Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
mi bora niliamua kulala mapema tu,africa tuna safari ndefu sana yani tangu kuumbwa kwa dunia hatuja wahi hata kuvaa medal za mshindi wa pili kwenye wed kapu.daah poor africa.
ILA nataka kujua mwenzenu
nikajua bao kwenye libolo match.............kumbeeee[
hahaha hujatulia best
Game zilizobaki inatakiwa Ghana ishinde zoote mbili ndo ijihakikishie nafasi. niambia ghana itamfunga nani kati ya German na ureno?
Pamoja na kwamba Germany waliipiga Portugal lakini Portugal wakali sana aise hakuna mchezo. Ghana anaweza kuifunga Germany lakini si Portugal.
ghana nje tu walienda kufanya fashion show tu..Pamoja na kwamba Germany waliipiga Portugal lakini Portugal wakali sana aise hakuna mchezo. Ghana anaweza kuifunga Germany lakini si Portugal.
Kijana muller,ozil,looooooo!!!!!!!! Ya jana yaache tu,bao 4 hivi hivi hawa vijana germany nomaaa,jaman ronadol na walinzi wake kwa kwa kwa kwa!!!!!!!!!!ila pale ureno kupenya ilikuwa kazi duuuu,ss kuchanganyikiwa au!!!pepe nae mapepe kama jina lake,du africa jana tutegemee nan?????
Africa tutegemee tu The elephants!
loh! Sweden moto mwingine ule,Ndo maana FIFA wanatupa nafasi chache,wanajua kabisa watapata hasara tu,kuliko timu hizi za Africa bora hata Sweden wangeenda.
Yaani hizi timu za Afrika kama taifa stars yetu tu.foolish African now take alcohol
dark continent.
(''nywele fupi dalili ya akili ndogo , ngozi nyeusi dalili ya laana'' kabulu)
Acha udini we Gahba la kisukuma