Mkuu Skype nipo......karata yangu ni kwa Mkoloni wetu
Ngoja tulainishe makoo yetu
Algeria wanajiita 'les verts' aka the greens au wa kijani. Tres bien ni very good na 'les gens' ni 'people' kama nimekosea unaruhusiwa kusahihisha.
Hivi Miroslav Klose hakufunga hat-trick wakati Germany walipowafunga Saudi Arabia 8-0?The first hat-trick was scored by Bert Patenaude of United States, playing against Paraguay in the 1930 FIFA World Cup; the most recent (as of 2014) was by Thomas Muller of Germany, playing against Portugal in the 2014 FIFA World Cup.
The first hat-trick was scored by Bert Patenaude of United States, playing against Paraguay in the 1930 FIFA World Cup; the most recent (as of 2014) was by Thomas Muller of Germany, playing against Portugal in the 2014 FIFA World Cup.
Alifunga mkuu kwa style hiiHivi Miroslav Klose hakufunga hat-trick wakati Germany walipowafunga Saudi Arabia 8-0?
Timu zote zilizopo juu kabla ya WC14 kuanza,ni timu ambazo zilitumika kama kofia ili kupata makundi,hivyo hakuna cha ubaguzi wala nini?
Game ya kwanza inakuwa na mchecheto sana....
ipo siku tutaiona.Jamani hivi ipo siku tutakuja kuiangalia Tanzania ikicheza WC?
Makamanda wote kwa pamoja tuishabikie Algeria kwa kuwa wametupa teknolojia ya gesi