Naona wamekatisha matangazo ghafla kama tbc sijui nini kimewakumba?
uzi umefutwa ule tuendelee na huu
au timu ya Mods imefungwa?
au timu ya Mods imefungwa?
Algeria kaka hehe.Fellaini anachomoa
Belgiam 1 Tunisia 1
dakika ya 74
Fellaini anachomoa
Belgiam 1 Tunisia 1
dakika ya 74
Nimeona umepigwa mstari kwenye maneno tatizo sijui nini dogo wa United hii game ingemfaa Algeria washachemsha kipa wao hakuna kitu pale.