World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Algeria wapo vyema lkn wamecheza na team nzuri sana!Belgium will go all the way to challenge for a title!Algeria itasonga mbele maana Russia wa kawaida tu!!
Unachosema ni kweli, Belgium ni moja ya timu nzito sana mwaka huu Algeria wamejitahidi. Kama hawafanya ubishoo Belgium watashangaza watu mwaka huu!
 
Na hapa Bado Taifa Stars nayo yataka kwenda huko WC sijui tutatoka wa ngapi
 
Hivi waafrika huwa tunajiandaa na haya mashindano au huwa tunakurupuka tuu?
 
Man Utd wajifunze namna ya kumtumia vizuri Fellaini (kumchezesha nyuma ya mshambuliaji) kama wanavyofanya Belgium (na walivyokuwa wanafanya Everton).
 
Belgium ni nzuri sababu ilikuwa inacheza na Africa, ingecheza na wajuao mpira usingeona hata shuti moja golini
 
Brazil ikifungwa basi tena siangalii world cup hadi iishe.
 
Africa ibakie timu 1 tu, ulaya waongeze timu nyingine 4, ikiwezekana nchi kama germny zitoe zaidi ya timu moja iwe german1 german 2.....etc
 
Spain + Portugal + Croatia = Taifa Starz

Duh ndugu mbona umetupatia uzito hivyo.
Hii timu yetu ya taifa na siasa za Wambura na TFF na Simba na Yanga kamwe hatuwezi hata onja harufu ya kufuzu kwenda kucheza WC
 
Sijui dengue yanivizia kichwa kinaumaaaaaa au ni hasira za Algeria kufungwa.
Kuwa shabiki kazi sana
 
Duh ndugu mbona umetupatia uzito hivyo.
Hii timu yetu ya taifa na siasa za Wambura na TFF na Simba na Yanga kamwe hatuwezi hata onja harufu ya kufuzu kwenda kucheza WC

Namaanisha magoli ya kufungwa sio ubora wa team
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…