Shedafa
JF-Expert Member
- May 21, 2008
- 802
- 175
Unachosema ni kweli, Belgium ni moja ya timu nzito sana mwaka huu Algeria wamejitahidi. Kama hawafanya ubishoo Belgium watashangaza watu mwaka huu!Algeria wapo vyema lkn wamecheza na team nzuri sana!Belgium will go all the way to challenge for a title!Algeria itasonga mbele maana Russia wa kawaida tu!!