AL SHARPTON
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 2,797
- 953
Brazil mwendo wa kusuasua tu.Mkuu Inzi mbona unatufurahisha hivi? Hivi vitoto vya akina Jo,Hulk wawasumbue Italy...Timu inategemea skills za mtu mmoja,hakuna flowing tuliyoizoea ya Kibrazil..
Naona Brazil watatoka mapema tu michuano.
Setup haikua pouwa! Achilia mbali Ramires, Paulinho kafanya nini leo? Oscar? Gustavo? Woote wamekua mizigo Leo! Mpk Nahoza wao analalamika!
Hahaaaaa serious.,....?
Brazil mwendo wa kusuasua tu.
Italy ukimdhibiti Pirlo nao kwishney
Kila timu ina udhaifu wake lakini So far Germany looks like a complete team
Brazil mwendo wa kusuasua tu.
Italy ukimdhibiti Pirlo nao kwishney
Kila timu ina udhaifu wake lakini So far Germany looks like a complete team
Matokeo yakoje wadau
Mexico nae kadraw, yan majanga tupu
Matokeo yakoje wadau
mkwe nipo,leo hali haikuwa nzuri upande wetu ila nadhani heri Cameroon wafungwe tu na Brazil mechi ijayo maana hawafiki popote
Holland wako ok, ingawa beki yao iko very shacky and porous at times.Holland?Spain?they're still a force to recognise.
Ukisema "hawatusumbui" wewe ni shabiki wa timu gani hiyo?Germany? Hao si wazee wa Nusu/Fainali? Miaka yote huwa na kikosi kizuri na wakipata nafasi wanafunga Magoli kweli,Unakumbuka 2010 walimpiga Argentina+England goli nyingi??
Hao hata hivyo huwa hawatusumbui labda Spain..