We boya tu, sisi tunapiga hao maboya wnzakoCameroon lazima wachapwe bao za kutosha...
We boya tu, sisi tunapiga hao maboya wnzako
Angalau waanze wao kupata goli, wanaweza wakakaza.
Dah ndio nagusa TV Kumbe kuna mpira ndio dk 28 ningeukosa Leo huu mpira ?Kuna wanaume bado hawajacheza,leo tunaanza na uholanzi na spain,mexico na na cameroon,kesho wanaume wengine Italy na England bado kuna kizazi cha hitla ni sheedar