TONGONI
JF-Expert Member
- Feb 18, 2011
- 1,041
- 375
Huyu nae ana lilia tuu anafikiri mpira unachezwa twitter! Ngoja tuone match ya pira kama watashinda.
Hawa nao wanalialia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu nae ana lilia tuu anafikiri mpira unachezwa twitter! Ngoja tuone match ya pira kama watashinda.
We unaona hile yako sawa na hii?
Sawa tuwepo pamoja tuwashuhudie waafrika wa kwanza tuone muelekeo wetuCameroon anapigwa moja.
Mpe haki yake.TONGONI
Mkuu ni matumaini yangu kabla ya kujisajili na JF ulizisoma Sheria za JF
Kama ulizisoma ulikutana na ujumbe huu hutakiwi: Kuleta maongezi binafsi baina ya mwanachama na mwanachama (waliojisajili) waliyoongea kwa kuaminiana kutoka katika Private Messages (PM) au barua pepe (Emails) na kuyaanika hadharani
Sasa wewe mbona unafanya tofauti na Sheria zetu?
Kuhusu Mada yako ulijaribu kuwasiliana na Mod yeyote kuhusu Mada yako?
Hujui Njia za kuwasiliana na Mods?
**Mada hii ibakie kwa lengo na madhumuni yake** sio sehemu ya kuleta malalamiko
naona wanakoswa hapa.Mpira umeanza.