World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Mabingwa watetezi wa kombe la dunia,namba 1 ya soka dunia,Spain La Furia Roja leo saa 4 kwa saa za afrika mashariki watakuwepo ktk uwanja wa Fonta Nova jijini Salvador kupambana na Uholanzi ikiwa kama marudio ya fainali iliyopita 2010 huko nchini Afrika Kusini,refarii atakuwa ni muitaliano Nicola Rizzoli
Spain itawakilishwa
Casillas
Sergio Ramos
Pique
Azpilicueta
Alba
Xabi Alonso
Busquets
Xavi
Diego Costa
Pedro
Iniesta
ukiwakosa Spain jimalize,nchi bora kisoka duniani kwa sasa ktk kizazi hichi cha 21.
 
Kombe la Mabara sio issue mzazi!Kumbuka hata USA mwaka 2009 walitwaa kombe hilo na Misri kufika hadi nusu fainali!

Je USA wanaweza twaa World Cup?Je Misri anaweza hata ingia 16 bora World Cup?

Brazil hii niliyo iona jana hamfungi Spain popote pale World Cup labda wafanye huge over haul!

Acha uwongo ww 2009 kombe alichukua brasil
 
waache wabrasil waitwe wabrasil..mimi n shabiki wa brasil na nmeanza kuifuatilia spirit ya ile timu kwa kipind kirefu kidogo..kwa mechi ya jana dhidi ya crotia,brazil ilicheza mpira wa kawaida sana..Ila kama ww ni mfuatiliaj wa sambaboyz hawa jamaa wanacheza mpira kutokana na timu wanayokutana nayo!!!scolar na paleirra n makocha wazoefu sana na wenye akili nying kimpira..sidhan kama mechi na Mexico watacheza mpira kama wa jana kwa kua kuna kasoro za kiufund nmeliona kwa mchezaji paulinho ambalo naamin limeigharim brasil Kwenye mech ya jana..endapo wataanza watu kama fernandinho na willian katika 1st eleven na kumpuzisha paulinho na hulk aisee tutegemee kuiona Brazil ktk sura nyingine...UTABIRI wangu hata Brazil asipokuwa bingwa naamin kombe alirud ULAYA tena!!!!tuonane mechi ijayo ya brasil dhid ya Mexico
 
saa 1 jion Mexico na Cameroon
saa 4 usku spain na Netherlands
saa 7 usiku Australia na chile
leo ni siku ya kuchepukanikirudi saa kumi mama namwambia nilikuwa naangalia mpira...
 
Haya wale wazee wa kutabiri vipi leo cameroon atachomoka mbele ya mexico?
 
Mabingwa watetezi wa kombe la dunia,namba 1 ya soka dunia,Spain La Furia Roja leo saa 4 kwa saa za afrika mashariki watakuwepo ktk uwanja wa Fonta Nova jijini Salvador kupambana na Uholanzi ikiwa kama marudio ya fainali iliyopita 2010 huko nchini Afrika Kusini,refarii atakuwa ni muitaliano Nicola Rizzoli
Spain itawakilishwa
Casillas
Sergio Ramos
Pique
Azpilicueta
Alba
Xabi Alonso
Busquets
Xavi
Diego Costa
Pedro
Iniesta
ukiwakosa Spain jimalize,nchi bora kisoka duniani kwa sasa ktk kizazi hichi cha 21.
Hao wanaanzia pale walipoishia last time yaani siikosi hii
 
hao wabrazil wajiandae tu kwa maandamano
Kuna wanaume bado hawajacheza,leo tunaanza na uholanzi na spain,mexico na na cameroon,kesho wanaume wengine Italy na England bado kuna kizazi cha hitla ni sheedar
 
Gary Lineker ✔@GaryLineker

It's a tight call for Brazil's man of the match between Neymar and the Referee.

fabrice muamba ✔@fmuambaFollowAfter that shocking decision I will be very surprise if this referee take charge of another game in this World Cup.

Flitts@FlittsTheGooner

Referee trying his utmost to make sure Brazil win or he won't be allowed to leave the country by the cartel.
 
Gary Lineker @GaryLineker

It's a tight call for Brazil's man of the match between Neymar and the Referee.

fabrice muamba @fmuambaFollowAfter that shocking decision I will be very surprise if this referee take charge of another game in this World Cup.

Flitts@FlittsTheGooner

Referee trying his utmost to make sure Brazil win or he won't be allowed to leave the country by the cartel.
Huyu nae ana lilia tuu anafikiri mpira unachezwa twitter! Ngoja tuone match ya pira kama watashinda.
 
Back
Top Bottom