Munkari
JF-Expert Member
- Feb 9, 2013
- 8,084
- 4,358
Kuna jamaa huku kitaa jana kaharibu TV makusudi ili aende kuangalia mpira bar,leo mkewe kaibeba tv kuipeleka kwa fundi.
ha ha ha huyo jamaa mkorofi hata ningekuwa miye ningefanya ka huyo mke!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna jamaa huku kitaa jana kaharibu TV makusudi ili aende kuangalia mpira bar,leo mkewe kaibeba tv kuipeleka kwa fundi.
Jitahidi uione hata ya WAZEE wa POSHO na Mexico itakuwa saa 3 usiku
wazee wa posho ni wa kina nani
Kombe la Mabara sio issue mzazi!Kumbuka hata USA mwaka 2009 walitwaa kombe hilo na Misri kufika hadi nusu fainali!
Je USA wanaweza twaa World Cup?Je Misri anaweza hata ingia 16 bora World Cup?
Brazil hii niliyo iona jana hamfungi Spain popote pale World Cup labda wafanye huge over haul!
saa 1 jion Mexico na Cameroon
saa 4 usku spain na Netherlands
saa 7 usiku Australia na chile
huo wa sa nne huo ndo mtamu!!!
leo ni siku ya kuchepukanikirudi saa kumi mama namwambia nilikuwa naangalia mpira...saa 1 jion Mexico na Cameroon
saa 4 usku spain na Netherlands
saa 7 usiku Australia na chile
Huo ndo utakuwa mpira sasa,utaona wanaume wanavyotandaza kandandayaan huo si wa kukosa
Hao wanaanzia pale walipoishia last time yaani siikosi hiiMabingwa watetezi wa kombe la dunia,namba 1 ya soka dunia,Spain La Furia Roja leo saa 4 kwa saa za afrika mashariki watakuwepo ktk uwanja wa Fonta Nova jijini Salvador kupambana na Uholanzi ikiwa kama marudio ya fainali iliyopita 2010 huko nchini Afrika Kusini,refarii atakuwa ni muitaliano Nicola Rizzoli
Spain itawakilishwa
Casillas
Sergio Ramos
Pique
Azpilicueta
Alba
Xabi Alonso
Busquets
Xavi
Diego Costa
Pedro
Iniesta
ukiwakosa Spain jimalize,nchi bora kisoka duniani kwa sasa ktk kizazi hichi cha 21.
Kuna wanaume bado hawajacheza,leo tunaanza na uholanzi na spain,mexico na na cameroon,kesho wanaume wengine Italy na England bado kuna kizazi cha hitla ni sheedarhao wabrazil wajiandae tu kwa maandamano
Hongera kwa kushabikia hao ambao hata robo watafika kwa shidaKweli ila Ndio hivyo chama langu limeibuka kidedea na pt 3
Cameroon anapigwa moja.Haya wale wazee wa kutabiri vipi leo cameroon atachomoka mbele ya mexico?
Huyu nae ana lilia tuu anafikiri mpira unachezwa twitter! Ngoja tuone match ya pira kama watashinda.Gary Lineker @GaryLineker
It's a tight call for Brazil's man of the match between Neymar and the Referee.
fabrice muamba @fmuambaFollowAfter that shocking decision I will be very surprise if this referee take charge of another game in this World Cup.
Flitts@FlittsTheGooner
Referee trying his utmost to make sure Brazil win or he won't be allowed to leave the country by the cartel.