World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

ndicho kipo hapa jf watu bado hawamini mapka mpira uishe.

Inauma sana unakuta mtu kawekeza dollar nyingi sana afu ziende tu, hao unakuta wanaishia kulalamika sana tu
 
Hongera Holland kwa kuwa timu ya kwanza kwa kufanikiwa kusonga mbele
 
Australia wamejitahid sana kupambana ila bahati haikuwa yao.
 
Wakuu kwa mm binafsi naonakuishabikia timu za afrika nikujitakia ugonjwa wa moyo bora taifa star ingeenda wangemudu
 
Inauma sana!Aussie HAWAKUSTAHILI kuwa kwenye hatari ya kutoka,hawa jamaa wanaujua sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…