Barcelona ndo Spain kwa kweli. Kwa kuwa Barca imeshafulia tegemea kabisa Spain kwishneyyyy
Alexis Sanchez anaujua sana
Spain haya mashindano ataaga kwa aibu sana sidhani kama Australia watambakiza huyu!
Spain kafungwa la pili
Huyu kocha wa spain mbuzi kweli....hataki kufanya mabadiliko while kuna watu wanachemsha live....namna hii kipigo ni haki....
Haya mpendwa,Mechi ya pili hiii Spain na Chile,Chile anaongoza 2 kwa ziro ya SpainNani kafunga niambie basi ?
Huyu kocha wa spain mbuzi kweli....hataki kufanya mabadiliko while kuna watu wanachemsha live....namna hii kipigo ni haki....