Barcelona ndo Spain kwa kweli. Kwa kuwa Barca imeshafulia tegemea kabisa Spain kwishneyyyy
safiii labda wamuombe yule mrembo wa ureno achukue uraia wa spain huenda akawasaidia japo naye kafulia na hajaonyesha cheche kabisa alipokutana na Germany akatelezeshewa 4 mfululizo.