tumekoswakoswa kipa kashachuchumaa
FT Croatia 4 - Cameroon 0
Alex song red shame on you Cameroon
#teamMandzukic
#teamModric
#teamCroatia
Cameroon is very shamefull wanapigana wenyewe very interesting
Mkuu hapa brazil hawajipatii goli kwa cameroon??
Man of the match alex song
Waafrika tumezoea vita, sasa hapo uwanjani mijamaa ilitaka kuonesha kwa vitendo
dah tusubiri tuone maaana #teamafrica presha tupuUbishoo tuu Wanaingia na mbwembwe za kukonyeza kwenye wimbo wa taifa wakati ile ni kama sala. Hamna shida lakini hop ivory coast kesho wata make it up #GoTeamAfrica