Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
Nilifurahi sana Suarez alipodaka mpira mwaka 2010 na kuizuia Ghana.
Nilifurahi zaidi yule mkata mauno alipokosa penalty.
Hope leo Suarez ataendeleza furaha yangu kwa kuwakalisha England.
Wazee wa tunakabiliana na changamoto, bora hizo timu ccm haijawai fikia malengo.
Back to the topic, Uruguay siipendi ila England inafungwa.
Labda litaisha leo.Gundu la Rooney na World Cup sijui litaisha lini...?km kalala na Bundi!
Hapa ndio utakapo jua wachezaji wa England wanabebwa na media zao wakati uwezo sifuri,
Dah tumewakosa hehehehe
Uruguay wins 3-0
ikishinda hayo magoli we spend a night together usiulize tunaspendije...
Inaelekea England wote macho yapo kwa Suarez, jamaa akiwaliza sijui kama watamruhusu arudi kisiwani.
Hii kona waza anafunga kwa header
Leo utashinda mkuu?Dah tumewakosa hehehehe
beki ya Uruguay sio nzuri, watafungwa sasa hivi
Leo utashinda mkuu?
Gemu tamu balaa uruguay lazima akae leo!