Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
Nilifurahi sana Suarez alipodaka mpira mwaka 2010 na kuizuia Ghana.
Nilifurahi zaidi yule mkata mauno alipokosa penalty.
Hope leo Suarez ataendeleza furaha yangu kwa kuwakalisha England.
huyu Suarez nilimchukia sana nilimchukia kuliko kitu chochote kipindi kile...
yaan kumbe kuna wengine mlifurahia