World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Nilisema mkifungwa nitarudi, haya vijukuu vya Lizzy habari ndio hiyo. Na mtafugwa mawili bado moja hapo, nyie team kufungwa msikimbie huu uzi.

Kweli bado mawili ila bado yote hayajafungwa hapo....leo lazima watoke kifua juu wajukuu wa elli....aah kwani vijana wamekwenda matembezi...(huku vidole vinatetemeka kuandika nilichokiandika.....lol..)
 
David Seaman Yule aliyetunguliwa kutokea Kisiwani yeye amesimamia Bara na Ronaldinho?

Lakini alikuwa ni bora kuliko mliowahi kuwanao. Kina James,Hart, Robinson wote wamefanya makosa ya kitoto kabisa ukilinganisha na goli alilofungwa Seaman.
 
hahahahaha Rooney ana koswa hapa daaaa world cup ya mwaka huu ni noma....
 
Nadhani Suarez angekuwa 100% mambo yangekuwa mabaya zaidi ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…