mwekundu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 21,859
- 19,736
Saurez,Lous Suarez jina ambalo mbali na operation ya goti aliyofanyiwa week 4 zilizopita ukilitamka england leo hii linageuka kua nightmares hata kwa captain wake wa liverpool steve Gerald ambaye mara kadhaa katika mchezo wao dhidi ya Uruguay alikua anahakikisha atleast anampunguza speed striker huyo wa liverpool lakini wapi...kama kawaida yake alitupia goal mbili ambazo zinazamisha kabisa ndoto za uingereza katika fainal za kombe la dunia huku matokeo yakiisha kwa 2-1 na uruguay kujichulia point zote 3 muhimu
Match hiyo pia ilitawaliwa na kituko cha Wayne Rooney(mchezaji ambaye anabebwa na jina la nchi yake) kufunga goal la kwanza maishani mwake tangia aanze kucheza fainal za kombe la dunia 2006,pamoja na jitihada za uingereza kujaribu kusawazisha lakini juhudi ziligonga mwamba
Hii kawaida ya England kuishia hatua za makundi katika mashindano makubwa kama World cup,Euro ni muendelezo tu kua hawawezi na team zao za Taifa mara zote ni immature ukilinganisha na vikosi inavyokutana navyo,pamoja na ukweli kwamba England ni nchi ambayo league yake ina mvuto zaidi na inaangaliwa na watu wengi zaidi(inalipa sana) duniani ni muda wa waingereza kukubali kua soka lao liko commercialised zaidi hivyo ni la watu wa kuja kutoka mataifa mbalimbali duniani lakini wao wenyewe hawajiwezi kisoka
Match hiyo pia ilitawaliwa na kituko cha Wayne Rooney(mchezaji ambaye anabebwa na jina la nchi yake) kufunga goal la kwanza maishani mwake tangia aanze kucheza fainal za kombe la dunia 2006,pamoja na jitihada za uingereza kujaribu kusawazisha lakini juhudi ziligonga mwamba
Hii kawaida ya England kuishia hatua za makundi katika mashindano makubwa kama World cup,Euro ni muendelezo tu kua hawawezi na team zao za Taifa mara zote ni immature ukilinganisha na vikosi inavyokutana navyo,pamoja na ukweli kwamba England ni nchi ambayo league yake ina mvuto zaidi na inaangaliwa na watu wengi zaidi(inalipa sana) duniani ni muda wa waingereza kukubali kua soka lao liko commercialised zaidi hivyo ni la watu wa kuja kutoka mataifa mbalimbali duniani lakini wao wenyewe hawajiwezi kisoka