World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Atapata tunampa sharti la kupiga hat-trik kwa costa na kwa suarez halaf wasiruhusu hata goli 1
 
Mkuu mie ni #TeamEngland naamini kabisa balotel na pirlo watatubeba kwa kumfumua bao nyingi costa rica na suarez, halafu vijana wa malkia wanamalza kesi kwa kujinyakulia point 3 kwa costa rica kiuraini tar 24.

unajua nini kitatoke italy atamfunga costa rica halafu wao, mechi ya mwisho kati ya italy na uruguay itakuwa draw hapo ndipo safari ya costa rica na england itakuwa imefika rasmi
 
unajua nini kitatoke italy atamfunga costa rica halafu wao, mechi ya mwisho kati ya italy na uruguay itakuwa draw hapo ndipo safari ya costa rica na england itakuwa imefika rasmi

Hapo wote mmechemka, italy leo anapigwa na costa tica halafu na uruguay nae atampiga italy. Costa rica na uruguay wataingia round ya pili wakati england na italy watafungasha virago kwenda kuboresha ligi zao kama spaniola.
 
Hapo wote mmechemka, italy leo anapigwa na costa tica halafu na uruguay nae atampiga italy. Costa rica na uruguay wataingia round ya pili wakati england na italy watafungasha virago kwenda kuboresha ligi zao kama spaniola.

naona huwafahamu vizuri AZURI
 
Mkuu baadae nitakukumbusha wakati kijana Campbell anavyo wageuza!

Italy isingempoteza Montolivo aungane na Pirlo na Marchisio pale katikati ndiyo ningekubali haya usemayo!!

Mi nakuomba mida ya saa 1 uwe online uone vitu adimu
 
Pirlo ana aga leo,tutamkumbuka sana hasa ukizingatia hii ndiyo mechi yake ya mwisho!Tuta ya miss madambwi dambwi yake
 
:angry::angry::angry::angry::angry::angry::angry:
 
ni wendawazimu kujadili timu ya England .....wakacheze mpira kwenye studio za TV na kwennye mameza ya wahariri wa magazeti sasa...mxxxxi
 

Hakuja Man Utd sababu alijua hakuna mpango, alijua kipaji chake kitaendelezwa vizuri chini ya Wenger kuliko Fergie. Kwanza alipokuja Arsenal alikuwa benchi/reserve alikuwa anacheza mechi Carling Cup na FA cup tena alikuwa anaingia kama sub sio kama alikuwa first choice. Tulikuwa tuna Gilberto, Cesc, Denilson, Flamini,Rosicky, Nasri, timu ilikuwa na wachezaji waliokuwa wapo juu yake. Sio kweli kwamba alihakikishiwa namba Arsenal. Ni sawa na unavyomuona mtoto wa Kiethiopia Zelalem sasa hivi anavyosota na reserve na kuappear mechi chache hapa na pale.
 
Hapana mkuu baba yake Serey Die alishafariki tangu 2004. Alikuwa na hisia tu kali kwa kucheza kombe la dunia.

Asante Bantu lady chanzo changu kilidanganya na kimikiri pia hivyo wadau pia mnisamehe kwa hilo. Haya ndo maneno aliyosema Serey Die alipohojiwa
"My life has always been difficult," Die said. "It's
true, I thought about my father who died in 2004. I
also thought about my tough life -- I didn't think
that one day I would be here, playing. This emotion
overwhelmed me and I am a very emotional person.
"I fought (against the tears) but I couldn't."
 
Last edited by a moderator:
Jamani kesho BD Yangu ndo nipo kwenye maandalizi karibuni sana wadau.....ila mishemishe zinaanza leo...Azur nipeni BD ya kukumbuka pegine hao muwasaidie walimu warudi tena.....
 

Fergie alikuwa hana mipango na Wenger ndio ana mipango? Ramsey atatua ManUnited 2016

Inatosha tuendelee na WC tutaendelea ligi ikianza
 
Kwa bahati mbaya hajapewa hata mechi moja labda ya mwisho watakayocheza na Australia kwa vile hawatoitolea macho sana
Dogo De gea anastahili kuanza...

Niliwaambia toka juzi wadau wa Spain kuwa Nederland italipa kisasi wakachooonga, sasa Madrid kimyaa. Sasa ni mwendo mudundo.
Wamelipiza kisasi cha goli moja kwa sifuri 2010 walipoenda dakika 120 na kwa bahati mbaya kadi nyekundu ilichangia sana Uholanzi kuruhusu goli moja la INIESTA.

Spain sio wabaya kivile naweza sema waliwahiwa mechi ya kwanza na hata kama utakumbuka vizuri 2010 mechi yao ya kwanza walipigwa na Switzerland goli moja kwa sifuri na halikurudi.

Na kingine beki yao mgogoro au naweza ongezea labda kikosi chao kilihitaji kuchanganywa na damu changa ukiangalia ndio wale wale waliobeba 2010, wakaja beba Euro 2012.

Mashindano ndivyo yalivyo mambo yanapobadilika na kuwa sio mazuri mema yako/yenu yote yanasahauliwa lakini Spain sio wabaya bali waliwahiwa
 
Mleta uzi hapo kwenye heading badili neno xana liwe sana, hata kama wewe ni mmng'ati
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…