World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Kule Sauzi walipigwa goli 4 na wote hao walikuwepo

Ghana alimtabisha Uruguay pia Sauzi mwaka 2010 lkn je wakicheza leo Suarez na Cavan huyu si balaa hilo kwa Ghana itakuwa?Point yangu hapo ni kuwa miaka 4 inaendana ama kukua kwa soka au kufifia!Messi wa 2010 sio huyu wa leo as well as Di Maria,Aguero na Higuain
 
Germany hamfungi Argentina hata refa awe German!
Boateng,Humels na huyo beki wa Arsenal wazito sana,watakuwa wanafika wkt Messi na Aguero wameisha nyanyua mikono wanashangilia wapo kwenye kibendera

Naweza kubet na wewe kwahili mkuu, Germany ni nyo.ko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…