World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Kombe la mwaka huu litakuwa na maajabu sana...
Huchelewi kukuta Fainali Costa Rica na Ecuador doh!
 
Leo Ghana mko juu,namna hiyo hata kama mnakufa kufeni kikondoo!!!! Big up!
 
Mechi hii Ghana wanastahili kabisa kushinda, lakini ndiyo hivyo tena wanaweza kuzembea na Wajerumani wakachukua points zote tatu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…