World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13


Haka katoto kameudhi sana pumbaf zake...Uchoyo tu usio na sababu..
 
wajerumani wanawaogopa ghana, tatizo ghana wanawapa confidence wajerumani.

Kweli mkuu,yaani mechi zote mbili Ghana imekuwa ikiwapa advantage wapinzani wakati ikiwa na kila sababu ya kushinda.hebu angalia mechi hii,inakuwaje hadi sasa ni 2-2 kwa mpira huu ulivyo?!
 
Ranking Ya FIFA ikitoka utaona England ya 4 wakati kuna vitimu kama Chile vinakamua na haviingii hyo top 10
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…