Hahahaaa...natural. heat naipata hapahapa plus mechi za mchangani za kufa mtu.
Jamani mnamkumbuka yule beki wa South Africa akiitwa Issa alivyokuwaga anamfunga kipa wake Andre Arendse back in 1998 WC France?
Hivi hii mechi Portual akishinda si anakuwa na point 3,USA anabaki na point zake 3,German 4 na Ghana 1.
Je mechi ijayo kama ikatokea Ghana akimfunga Portugal si anakuwa na Point 4,na ikatokea USA akadraw na German si anakuwa na 4,au itokee tena Portugal aje akadraw na Ghana ambapo anakuwa na point 4,na USA adraw na Germany.
Kwenye hiyo situation nani anasonga mbele???
Hiyo itakusaidia sana...usikimbilie madawa.
What do you understand by the term "goal difference" mkuu?
Hint: Difference is obtained by subtraction... ie unachukua magoli ya kufunga unatoa ya kufungwa.
Karibu kwa swali lingine kama lipo.
Ghana atakuwa na magoli 4 na kufungwa 3. USA watakuwa na magoli 3 kufungwa 3Kwahiyo ina maana mfano ikitokea,Portugal leo kashinda goli halafu USA 0,then Portugal akafungwa goli moja na ghana,halafu USA akadraw kwa Germany Kwa matokeo ya 1-1,
Mahesabu yanakuwa
Ghana ana magoli 3 ya kufunga na 3 zingine za kufungwa (Zile mbili alizofungwa na Germany wakatoa draw + ile 1 waliyofungwa na USA).
Inakuwa matatu ya kufunga toa matatu ya kufungwa=0.
USA kafunga mawili toa aliyofungwa mawili=0
Duh!
Au wanahesabu vipi yale magoli draw inapotokea
Ghana atakuwa na magoli 4 na kufungwa 3. USA watakuwa na magoli 3 kufungwa 3
Kwahiyo ina maana mfano ikitokea,Portugal leo kashinda goli halafu USA 0,then Portugal akafungwa goli moja na ghana,halafu USA akadraw kwa Germany Kwa matokeo ya 1-1,
Mahesabu yanakuwa
Ghana ana magoli 3 ya kufunga na 3 zingine za kufungwa (Zile mbili alizofungwa na Germany wakatoa draw + ile 1 waliyofungwa na USA).
Inakuwa matatu ya kufunga toa matatu ya kufungwa=0.
USA kafunga mawili toa aliyofungwa mawili=0
Duh!
Au wanahesabu vipi yale magoli draw inapotokea