World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

mourihno kipindi kile niliposema mpira hauna heshima heshima ilikuwa usa wanaongoza 2-1
Cookie we inaonekana unashabikia USA,ulikuwa kimya kwanza kusoma upepo ulipoona USA inashinda ukashindwa kuzuia furaha.
 
Last edited by a moderator:
mourihno kipindi kile niliposema mpira hauna heshima heshima ilikuwa usa wanaongoza 2-1

Kwa maana hiyo, USA hawakustahili kuongoza? Au kushinda hii match?
 
Last edited by a moderator:
Naona kama Ghana atakuwa anaombe USA afungwe na Germany Magoli mengi huku yeye amfunge Portugal.

GD ya USA ni 1, wakati ya Ghana ni -1, kama Ghana watashinda kwa tofauti ya goli 2 tu halafu USA ikatokea wakafungwa hata goli moja Ghana watapita
 
Viol mimi ninapenda taifa stars tu
 
Last edited by a moderator:
Bhana haya mambo ya nani amfunge nani haya bhana kwa magoli mangapi ..... Kiufupi Ghana kwaheri
 
Hizi "IF" zimeshakuwa nyingi kupita kiasi katika kundi hili, pamoja na Ghana na Portugal kuwa na point moja tu lakini bado nazo zina nafasi ya kuwemo katika 16 bora. Mechi za mwisho Alhamisi katika kundi hili zitakuwa tamu mno.

GD ya USA ni 1, wakati ya Ghana ni -1, kama Ghana watashinda kwa tofauti ya goli 2 tu halafu USA ikatokea wakafungwa hata goli moja Ghana watapita
 
GD ya USA ni 1, wakati ya Ghana ni -1, kama Ghana watashinda kwa tofauti ya goli 2 tu halafu USA ikatokea wakafungwa hata goli moja Ghana watapita
Una maanisha 2-0!,
Je 2-1?
 
Mourinho kwenye karatasi portugal walikuwa wanapewa nafasi ya kushinda kuliko USA
 
Last edited by a moderator:
Viol mimi ninapenda taifa stars tu

Taifa Stars huwa hata sipendi kuangalia nasubiri niambiwe matokeo tukipiga story kidogo maumivu yanapungua kuliko kuona kwa macho,aaah yaani unaangalia game huku mapigo ya moyo unayasikia.
 
Last edited by a moderator:
USA beats or ties Germany: USA
Advances
USA loses and Portugal ties Ghana: USA
Advances
USA loses and Portugal beats Ghana by
less than 4 (very likely): USA Advances
USA loses and Ghana beats Portugal by
1: USA Advances
USA loses and Ghana beats Portugal by
more than 1: Ghana advances
This is all assuming that if the USA loses
by 1. If we lose by more, mark the goal
differentials down 1 as well (so Portugal
beats Ghana by 3 if we lose by 2, etc.)
 
Reactions: BAK
Mourinho kwenye karatasi portugal walikuwa wanapewa nafasi ya kushinda kuliko USA

Sawa kabisa kwenye karatasi lakini mpira hauchezwi kwenye karatasi na uwanjani leo hii USA walicheza vizuri zaidi ya Portugal in fact USA wamecheza vizuri kwenye haya mashindano kuliko Portugal
 
Last edited by a moderator:
lol!!!! imeshakuwa tabu, Alhamisi tutaona attacking football ya hali ya juu, timu itakayozembea tu kushambulia na hivyo kupunguza uwezekano wa kushinda kwa goli nyingi na kujikusanyia points tatu muhimu, itakula kwao.

 
Hizi "IF" zimeshakuwa nyingi kupita kiasi katika kundi hili, pamoja na Ghana na Portugal kuwa na point moja tu lakini bado nazo zina nafasi ya kuwemo katika 16 bora. Mechi za mwisho Alhamisi katika kundi hili zitakuwa tamu mno.

Ghana ana tiketi mkononi mwake, Portugal hawachezi kama team kabisaa, kama watoto wa Ghana wataamua kufia uwanjani watakua na nafasi kubwa sana kufika 16 bora maana sioni namna gani USA akimfunga Germany
 
Reactions: BAK
Bado kuna watu hapa wana wasi wasi na USA na kiwango chao?

USA ndo walivyo wamecheza vizuri World Cup hii itakayofuata watacheza ovyo . game lao sawa na Waafrika lina regress kila miaka kadhaa
 
Timu zetu za Afrika Mkuu ndiyo kama hivyo unaweza kushangaa katika mechi muhimu kama hii ya Alhamisi, Ghana wakacheza kwa ubinafsi mkubwa kila mcheza akitaka yeye ndiye awe nyota na labda kujipattia mkataba mnono majuu. Wakicheza kama team na kuweka ubinafsi pembeni basi wana nafasi nzuri sana ya kusonga mbele. Hata Wajerumani nao itabidi wajipinde sana, vinginevyo wanaweza kuadhiriwa.

Ghana ana tiketi mkononi mwake, Portugal hawachezi kama team kabisaa, kama watoto wa Ghana wataamua kufia uwanjani watakua na nafasi kubwa sana kufika 16 bora maana sioni namna gani USA akimfunga Germany
 

Haswaaa na kocha wao naona ana tatizo kwenye kufanya selection
Naona na Mzee Van Gaal kaanza kulia na FIFA na ratiba yao inavyowabeba Brazil,
 
Reactions: BAK
Viol inabidi ubadilike tuiinge mkono timu yetu
Kama Iran wanaweza na sisi tutaweza
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…