World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

kichekesho ni Brazil atakaposhika nafasi ya pili iwapo Mexico atamfunga Croatia na Brazil wakadraw mwchi yao....

Cameroon hawa wanaoacha kupiga mpira kichwa na kupigana vichwa wenyewe!?
 
Holland bora ashinde ili amkwepe Brazil,naamini Brazil ataongoza kundi lake kwa kumfunga Cameroon

hata hivyo hawa fifa siwafagilii kabisa ratiba ilibadilishwa. mechi za kundi A zilitakiwa zianze kuchezwa lakini wamefanya maksudi ilikumtafutia brazil timu weaker maana tayari ataingia uwanjani hali akijua matokeo ya kundi B. Usishange leo Chile akishinda ukaona brazil anatoa draw na cameroon.
 
Holland bora ashinde ili amkwepe Brazil,naamini Brazil ataongoza kundi lake kwa kumfunga Cameroon

Brazil sio tishio kama Mexico au Croatia....Brazil uenyeji tu ila kiwango chao ni average sana.
 

Brazil hana cha kukwepa,Holland na Chile wote ni wagumu sana,hata akikutana na Chile bado ana kazi kubwa mno
 
Brazil sio tishio kama Mexico au Croatia....Brazil uenyeji tu ila kiwango chao ni average sana.
brazil hawezi kufika mbali kwa mpira anaocheza unless fifa wambebe. Tena asiombe game zinazofuata akutane na timu yoyote ya amerika kusini safari itakuwa imefika.
 
Brazil hana cha kukwepa,Holland na Chile wote ni wagumu sana,hata akikutana na Chile bado ana kazi kubwa mno

kweli kabisa Brazil akikutana na yeyote kati ya hawa ana kibarua kigumu.
 
Brazil hana cha kukwepa,Holland na Chile wote ni wagumu sana,hata akikutana na Chile bado ana kazi kubwa mno
Holland wanamuogopa Brazil kwa sababu ya uenyeji,refa nae anaweza akawa mwiba,najua mashabiki Brazil ikitolewa mapema huko patakuwa pachungu,watu watasema tumekuwa maskini na timu nayo imetolewa.
 
Huyu Van Gaal mbona hampangi Huntelaar
 
brazil hawezi kufika mbali kwa mpira anaocheza unless fifa wambebe. Tena asiombe game zinazofuata akutane na timu yoyote ya amerika kusini safari itakuwa imefika.
Brazil naona safari yake inaishia kwenye 16 bora hana ubavu wa kuvuka zaidi ya hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…