Hata Sout walikuwa hivi hivi wakatukera fainali, mimi wala siiweki shilingi yangu kwao watanikera tu hawa. Ila nawaombea mema, shilingi yangu naiweka kwa mgeni kabisa asiyetarajiwa, nahisi kama atafanya makuu mwaka huu. Wakati watu wanastuka, yeye ndio atafanya kweli si mwingine ni Belgium.Holland watavusha hili kombe,wakimpiga chile hadi mwisho,sioni team nyingine ya kuwazuia.
Hata Sout walikuwa hivi hivi wakatukera fainali, mimi wala siiweki shilingi yangu kwao watanikera tu hawa. Ila nawaombea mema, shilingi yangu naiweka kwa mgeni kabisa asiyetarajiwa, nahisi kama atafanya makuu mwaka huu. Wakati watu wanastuka, yeye ndio atafanya kweli si mwingine ni Belgium.
3 games...3 wins....9 ponits.....top of the group....bring on Brazil....COME ON HOLLAND!!
#TeamHolland
Lakini si unakumbuka waligungwa goal moja tu kama nakumbuka vizuri,bahati haikuwa yao.Safari hii itakuwa wamejiwekea kuwa no matter what,hawatakiwi kufanya makosa.Hata Sout walikuwa hivi hivi wakatukera fainali, mimi wala siiweki shilingi yangu kwao watanikera tu hawa. Ila nawaombea mema, shilingi yangu naiweka kwa mgeni kabisa asiyetarajiwa, nahisi kama atafanya makuu mwaka huu. Wakati watu wanastuka, yeye ndio atafanya kweli si mwingine ni Belgium.
0, 3, 6, 9 Arithmetic Serious
[URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=teamchile]#teamchile [/URL] tupo tunamsubiri mwenyeji tufanye mambo yetu.
Wale team uzalendo leo mtanisamehe kabisa.
Mimi ni #teamBrazil # damu, sasa huu mtego wa leo na Cameroon mmmh.
#teamBrazil #
3 games...3 wins....9 ponits.....top of the group....bring on Brazil....COME ON HOLLAND!!
[URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=teamholland]#teamholland [/URL]