Daaah Croatia umeniangushaaaaaa, shenzi wewe
Daaah Croatia umeniangushaaaaaa, shenzi wewe
Mkuu uliweka mzigo nini?
Kweli Game ya Mexico nzuri 2-0
Kuna kamzigo nilikapata baada ya mkeka wa timu saba kushinda zote , nikaona isiwe mbaya ngoja nimpe Croatia yaani amekula hadi hela ya chai. Dah imeniuma sana ningekuwa na uwezo ningewachapa vibao hao washenzi.
Daaah Croatia umeniangushaaaaaa, shenzi wewe
Teh teh teh pole mkuu
Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
Ni multi millionaire
Ha ha ha Mkeka Muhindi ashakula hela ukiona hivyo
Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
Mexico wako juu
Hernandez la 3 Mexico 3-0 time za kulala sasa jamani usiku mwema kwa wa usiku mnaendelea Kaeni salama.Me nipo nacheki hii game, hawa Mexico wazuri sana asee, #TeamHolland wajiandae vizuri sana