wanajitetea eti timu haijafanya vizuri kwa vile wachezaji hawajakaaa pamoja muda mrefu. Who cares!
Cr 7 injury tatizo na wanaomzunguka Messi wako poa zaid kuliko kwa Cr7.
Pamoja kiongozi,,,, Hope Suarez yuko chini ya ulinzi mkali, Forza Azzuri
Hawa mabwege wa kwa malkia walikuwa wananiacha hoi na formation yao ya 4-2-4. Nilikuwa sijawahi kuiona popote pale. Leo naona wamegundua ujinga wao
Nimeangalia kidogo game Uingereza na Coatarica ni kichekesho kitupu!Uingereza anacheza kama UMISETA
Ballo aout kama Italy watapita!
Refa kamwonea tu!huyu dogo sijui bangi au vipi
walidhani hizi ni propaganda za media walizozoea.