Kimilidzo
JF-Expert Member
- Jan 3, 2011
- 1,346
- 625
wanajitetea eti timu haijafanya vizuri kwa vile wachezaji hawajakaaa pamoja muda mrefu. Who cares!
Hawa mabwege wa kwa malkia walikuwa wananiacha hoi na formation yao ya 4-2-4. Nilikuwa sijawahi kuiona popote pale. Leo naona wamegundua ujinga wao

