Daaaah kwa mara ya kwanza tangu WC hii imeanza ndo nayaona machungu ya muhongo na tanesco yake daah
Nitamshuhudiaje Suarez leo
jamani mwenye link ya kuona live atusaidie tanesco washatuvuluga huku
Duu jamani mafala tanesco hawa jamani
jamani mwenye link ya kuona live atusaidie tanesco washatuvuluga huku
Wakuu tunaombeni update nchi ipo gizani!
Yule Babu Muhongo kama angekuwa anatembea kwa miguu akipita kitaani kwangu namuitia mwiziiiiiiii ili wananchi wamgombanie. Mi nilishajipangia dakika tano Belo Horizonte, dakika tano Natal,,, naishia kuangalia JF
duh kifaa cha ukwee...kweli pesa mwisho wa matatizo!
aisee wamekata sehemu kubwa au sisi wote majirani!!!
Italy kamdhibiti Uruguay na Suarez wao!!Wasipo badili tactics Uruguay wapo kwenye matatizo makubwa