World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Suarez World Cup ndiyo imefikia ukingoni, FIFA watampa kibano cha at least mechi tatu.
 
Nimeangalia mpira na nimeona reply zote.Why Chielini ampige kiwiko while mpira ulikuwa upande mwingine,kama uliona Suarez alivyomng'ata Ivanovic inafanana na hii ya leo.Suarez ukimkaba man to man huwa anapanic sana ndio kilichotokea leo

kweli wewe umeangalia maaana wengine wamekalia moja tu hawaangalii nini kilitokea kwanza.
 
Raha ya mpira ushinde afu ulikuwa umewekeza, kinyume chake pia
 
drogba leo anaanza ..lazima leo afrika tupeleka timu ya kwanza 16 bora
 
Luis Suarez hafai Kuwa baby siter bora mwanao umuache na Mbwa anayeitwa Pitbull kwenye chumba kidogo kuliko jamaa Pitbull anaweza Kuwa salama au Simba watu wataanza kupaka Mafuta ya sumu mwilini.
 
Mie katika mechi hizi za kimataifa za soka napenda kuona reaction ya wacheza pale ambapo nyimbo zao za Taifa zinapopigwa, huwa sipendi kabisa kukosa kuangalia nyimbo za Taifa hata kama sielewi lugha yao.
 
Conte Juventus wasimuachie kwenda Italy timu ya Taifa abaki na chama kubwa la Italy Juventus wasituharibie timu.
 
jamani ni mimi tu au kila mtu anaona kiwango cha yaya toure hakiridhishi WC Hii??
 
Mie katika mechi hizi za kimataifa za soka ni kuona reaction ya wacheza pale ambapo nyimbo zao za Taifa zinapopigwa, huwa sipendi kabisa kukosa kuangalia nyimbo za Taifa hata kama sielewi lugha yao.
baada ya wimbo wa taifa unalala tu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…