World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Sijawahi kushabikia timu ambayo messi anaichezea.

Leo mara ya kwanza.

Argentina piga hao matapeli wa kwenye mtandao.
 
"Yule Suerez, katika ng'ata ng'ata zake timu anayoichezea hushinda!"
 
#TeamNigeria wanajituma sana....hata wakifungwa sio kwa uvivu ila kwa kuzidiwa ila wanajituma sana kwa hilo nawasupport leo na wakipita,hawana ma-star kama ivory coast lakini tunaona juhudi zao leo na mechi iliopita!
 
Mechi ya kwanza nilishangaa sana Steven keshi kumuweka benchi Odemwingie lakini naona ameona umuhimu wake,jamaa yuko vizuri na anaonyesha kiwango cha juu sana...
#TeamNigeria
 
Ball news... here is the one they'll use for the final. It's round and everything

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…