Wanasema eti sisi ni bara la giza.
Sijawahi kushabikia timu ambayo messi anaichezea.
Leo mara ya kwanza.
Argentina piga hao matapeli wa kwenye mtandao.
hata nigeria wakitoka wanastahili kupokelewa kishujaa
Kwa sababu zipi.?
wanajitahidi sana kupambana sio kama cameroon na matembo
wa kunyumba natamani kukusapot