Ronaldo anataka kujitutumua kwetu, na analitafuta bao kwa udi na uvumba.
kweli jamaa ni boya
#team Portugal Woyeeeee!!!
Gooooooal wamejifunga wenyewe
Kama umesimama bora ukae maana utaweza dondoka.
Mimi nashabikia Algelia sababu ina nafasi ya kuendelea mbele. Ghana sio kuwa hawawezi wanaweza tatizo ni USA kule
Nabadilisha channel hapa na nitarudi later kwa wale teamGhana, sababu mambo si mazuri upande wangu. Moyo unameguka vipande vipande.
jamaniiiiiii
hapo ndo anadhidi kutudhihirishia kuwa "africa is a dark continent"
Jamani huu mpira mkali sana ghana vs portugal
Nabadilisha channel hapa na nitarudi later kwa wale teamGhana, sababu mambo si mazuri upande wangu. Moyo unameguka vipande vipande.