Kuna mtu anaweza kupgwa nusu dazani hapa.
Hivi xavi na iniesta wametoka au?
Kwa chile ndio tusitegemee kabisa ni nuksi wale.
mkuu kwa huu mziki wa nertherland wakikutana na team zetu za ki Afrika sijui itakuaje aisee?Si huyu kipara (Robben)wako katupia tena mkuu!! Sijawahi ona Bngwa anabugizwa 5 vs 1 ya penati. Sijui hawataki Spain watoke nje kesho.
. Spain wakali ila De Guzman akitulia ujue Van Parsie na Robben watafurahi wing ya Holland iwe nzuri Van Parsie atikise nyavu tushawachoka Spain.
Spain wakatoe kombe walipoliweka walifutefute na vumbi mapema,kama ni store au makumbusho ya club wafanye hivyo maana sio bingwa mtetezi tena kishagawa kikombe.
Kwa chile ndio tusitegemee kabisa ni nuksi wale.
Casilas, Xavi,Alonso wanapaswa kustaafu still kuna vijana kina Koke,De Gea, Thiago,Isco,Mata wanakosa nafasi
Nilikuja kwa mkopo kwa waspaniola ila wameniangusha.Kheee kumbe wewe ni mspaniola..nilijua wewe ni mkara