World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Weee tutake radhi unaiacha wapi Kenya?
Rushwa ya Kenya ni kama ya India; pamoja na kula rushwa kuna ushahidi yapo maendeleo. Sisi pamoja na kula rushwa matumbo ya viongozi ndio yanazidi kupanuka huku upana wa barabara zetu ukizidi kupungua! Trust me andybird314, nimewahi kuwakilisha taifa kwenye michezo kimataifa na niliapa kutomruhusu mwanangu kushiriki mpaka CCM itoke madarakani. Pamoja na kufisadi posho zetu, walitaifisha pasi zetu (passport) hadi siku tuko Airport tunarudi bongo! Hilo halitokei hata kwa jirani zetu Kenya...je una habari kuwa hata kuandika Katiba mpya karibu tunashindwa? Yaani tunashindwa kujenga msingi, hiyo nyumba kweli itasimama? Nakuomba wewe unitake radhi!
 
Last edited by a moderator:
maswali mengi unajiuliza hii issue ya hela mara nyingi ni cameruni, ghana na nigeria. hatujawahi kuisikia timu za afrika kaskazini

Wale waarabu hawana matatizo kabisa watu weusi tuna matatizo sana
 

Samahani, nilikosea naungana na wewe Tanzania twala kiasi na hatuleti maendeleo
 
Last edited by a moderator:
maswali mengi unajiuliza hii issue ya hela mara nyingi ni cameruni, ghana na nigeria. hatujawahi kuisikia timu za afrika kaskazini
Hapo Kaskazini ondoa Libya... Wana hali mbaya tokea anguko la Gadaffi
 
that is good maana wareno wangepita kale kajamaa sijui mnakaita cr kangetamba sana

Huyu mjivun CR yeye anachoangalia ni kumzid Lion(Lionel) Messi tu. Hii humsababisha apatwe na kiwewe, badala yake anavurunda. Ona sasa timu yake imetupwa nje, nae kaambulia goli1 tu! Mwenzie Simba Messi anatupia karibu kila mechi, hilo linamuumiza sana CR!
 
Leo nimeweka mzgo,game ya Argeria na russia nimeweka mzgo.

wasitoke sare tu.
 

Lazima imuume kwakuwa mwaka huu hata mchezaji bora wa Dunia kwa asilimia kubwa atatokana na WC hii. Tusubiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…